Walimu walia na changamoto sera elimu bure

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, akizungumza na waandishi.

Miezi sita baada ya sera ya elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka kidato cha nne hapa nchini waalimu wamebaini changamoto mbalimbali ambapo wanaomba serikali kuzishugulikia ili elimu bora itolewa kwa wanafunzi wengi walio jitokeza kupata elimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS