Vijana waandaliwa programu maalumu ya kukuza ujuzi Naibu waziri wa kazi,vijana na ajira Mheshimiwa Anthony Mavunde amesema serikali imeandaa programu yakuzalisha na kukuza ujuzi kwa watanzania hasa wale wanaohitimu vyuo vikuu na wenginje wa mitaani. Read more about Vijana waandaliwa programu maalumu ya kukuza ujuzi