Kaganda ataka kamati za maadili jeshi la polisi

Kamishna wa maadili ya utumishi wa umma Jaji mstaafu Salome Kaganda

Kamishna wa maadili ya utumishi wa umma Jaji Mstaafu Salome Kaganda amewataka makamishna wa jeshi la polisi walioapishwa leo kuhakikisha wanasimamia maadili ya kazi yao na askari walio chini yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS