Magufuli awarejeshea NEC Chenji yao ya Uchaguzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,akiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ameipongeza tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), kwa kusimamia zoezi la Uchaguzi vizuri na kuahidi kutatua changamoto zinazowakabili ikiwemo kuwa na jengo lao binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS