Edward Christopher aliyekuzwa na Simba lakini kwa sasa yupo Toto Africans ya Mwanza akifanya vizuri
Kila mchezaji wa timu ya Simba ya umri wa miaka 20 aliyekwenda kwa mkopo timu zingine za ligi kuu Tanzania Bara, amekuwa akiwika na hata kuzungumziwa kwa nini anakosa nafasi kikosi cha kwanza.