Simba wakanusha kuuza vijana wao wa U20

Edward Christopher aliyekuzwa na Simba lakini kwa sasa yupo Toto Africans ya Mwanza akifanya vizuri

Kila mchezaji wa timu ya Simba ya umri wa miaka 20 aliyekwenda kwa mkopo timu zingine za ligi kuu Tanzania Bara, amekuwa akiwika na hata kuzungumziwa kwa nini anakosa nafasi kikosi cha kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS