Yanga yakubali yaishe sasa kuwavaa Mazembe Jumanne

Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakishangilia moja ya michezo yao.

Baada ya mvutano kati ya Yanga na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kwamba mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya TP Mazembe ichezwe lini kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, sasa jibu ni Jumanne kama ilivyotangazwa awali na TFF.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS