Benki ya Exim kutoa trilion 16 za ujenzi wa reli

Rais Magufuli akiongoza kikao cha pamoja na ujumbe wa Rais wa Benki ya Exim ya China Ikulu ya Chamwino Dodoma

Benki ya Exim ya China imekubali kutoa mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani Bilioni 7.6 sawa na zaidi ya Shilingi Trilioni 16 za kitanzania kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa mradi mkubwa wa reli ya kati hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS