Jeshi la Polisi kuzindua mpango wa maboresho

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu

Jeshi la Polisi kesho litazindua mpango wa maboresho ya jeshi la polisi ambao una lengo la kuleta mageuzi ya utendaji kazi katika kuwahudumia wananchi kwa kuzingatia weledi, sheria pamoja na haki za binadamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS