Vikosi vya usalama DRC, vyatumwa Kinshasa Taarifa kutoka Jamhuri ya Demokrasi ya Congo zinasema kuwa vikosi vya usalama vimetumwa kwenda mji mkuu wa nchi hiyo Kinshasa, baada ya serikali kupiga marufuku mkutano wa muungano wa vyama vya upinzani. Read more about Vikosi vya usalama DRC, vyatumwa Kinshasa