Golikipa Amani Simba anukia African Lyon
Katika kujiimarisha zaidi kuelekea katika mzunguko wa lala salama wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, uongozi wa timu ya African Lyon umesema unaendelea kuwapima wachezaji wapya waliojitokeza ili kuweza kujua ni wapi wanafaa ili kuboresha kikosi chake
