Golikipa Amani Simba anukia African Lyon

Amani Simba katika moja ya michezo yake akiwa na Majimaji

Katika kujiimarisha zaidi kuelekea katika mzunguko wa lala salama wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, uongozi wa timu ya African Lyon umesema unaendelea kuwapima wachezaji wapya waliojitokeza ili kuweza kujua ni wapi wanafaa ili kuboresha kikosi chake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS