Hakeem 5 agoma kumuomba Kiba msamaha

Hakeem 5

Msanii wa bongo fleva Hakeem 5 amesema hawezi kumuomba Ali Kiba msamaha kwa kuwa hajafanya kosa lolote na alichoongea kuwa Ali Kiba anaroho mbaya aliongea ukweli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS