Marubani wa ndege nchini Ujerumani wagoma

Marubani nje ya ofisi za shirika hilo katika mgomo wao

Marubani wa shirika la ndege la Ujerumani Lufthansa wako katika mgomo na kusababisha kukwama kwa mamia ya wasafari na safari za ndege kusitishwa baada ya chama cha marubani kuitisha mgomo utakaokoma hapo kesho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS