Tanzania Bara yaadhimisha miaka 55 ya Uhuru Kikundi cha kwata ya kimyakimya Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Dkt. John Magufuli leo amewaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara, uliopatikana Desemba 9, 1961 Read more about Tanzania Bara yaadhimisha miaka 55 ya Uhuru