Rais Magufuli asamehe wafungwa 5,678

Rais Magufuli aliyeambatana na Mkuu wa Majeshi, Jen Davis Mwamunyange, wakati akisalimiana na wananchi waliohudhuria sherehe

Katika kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe  9 Desemba, 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia madaraka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa msamaha kwa wafungwa 5,678.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS