Mahakama ya mafisadi yaendelea kupiga kazi

Mahakama ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini maarufu kama Mahakama ya Mafisadi, hii leo imesikiliza kwa mara ya pili kesi yake ya kwanza inayowakabili watanzania wawili na raia mmoja wa China.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS