Mahakama ya mafisadi yaendelea kupiga kazi Mahakama ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini maarufu kama Mahakama ya Mafisadi, hii leo imesikiliza kwa mara ya pili kesi yake ya kwanza inayowakabili watanzania wawili na raia mmoja wa China. Read more about Mahakama ya mafisadi yaendelea kupiga kazi