Majaliwa akabidhiwa taarifa ya kifo cha faru John

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea pembe za faru.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea taarifa inayoelezea utaratibu uliotumika kumhamisha faru John kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Sasakwa Black Rhino Sanctuary iliyoko kwenye Hifadhi ya Grumeti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS