Kocha Bafana Bafana asimamishwa kwa kumtusi Rais

Rais wa SAFA Danny Jordaan (kushoto) akishikana mikono na Ephraim Mashaba kipindi anapewa kazi

Shirikisho la Soka Afrika Kusini (SAFA), limemsimamisha Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya nchini hiyo, maarufu kama Bafana Bafana, Ephraim ‘Shakes’ Mashaba, masaa 24 tu baada ya kuiongoza timu hiyo kwenye ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Senegal.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS