Kesi ya Lema na mkewe yakwama kusikilizwa

Godbless Lema na Mkewe

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS