Wasio na vibali vya kuishi nchini kurudishwa kwao

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba akikagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa uhamiaji nchini.

Serikali imeagiza idara ya uhamiaji nchini kufanya uhakiki upya wa vibali vya wahamiaji wote walioko nchini na kwa wale ambao hawana sifa zinazostahili warudishwe kwenye nchi zao kwakuwa wanaishi nchini kinyume na sheria za nchi zinavyoelekeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS