Ukuaji wa uchumi Tanzania unaridhisha - Utafiti

Donald Mmari

Kasi ya ukuaji wa uchumi nchini imekuwa ya kuridhisha katika kipindi cha miaka michache iliyopita, ingawa changamoto imebaki juu ya namna ya kuhakikisha mchango wa sekta ya kilimo katika ukuaji huo inaongezeka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS