Mwakani sitakuwa na roho nzuri - Fid Q

Fid Q (kushoto) akiwa na Bill Nas katika usiku wa EATV Awards

Msanii nguli wa hip hop bongo Fid Q baada ya kushuhudia EATV AWARDS mwaka huu, ameanza kujipanga kwa ajili ya mwakani na kusema kuwa hatokuwa na roho nzuri kwenye kuachia kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS