Tanzania mwenyeji Siku ya Takwimu Afrika

Meneja wa Idara ya Pato la Taifa kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Daniel Masolwa (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuongoza maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yatakayofanyika kesho jijini Dar es Salaam yakilenga kuainisha umuhimu wa takwimu katika kupanga maendeleo na kutunga sera Barani la Afrika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS