Msuva aitamani Simba SC

Saimon Msuva akiwa KIKAANGONI

Mshambuliaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga Saimon Msuva ambaye kwa sasa ameibua minong'ono mingi kwa mashabiki kuwa anaipenda timu ya Simba kuliko ile ya Yanga anayochezea, amenyoosha maelezo kuhusu tuhuma hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS