Msuva aitamani Simba SC Saimon Msuva akiwa KIKAANGONI Mshambuliaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga Saimon Msuva ambaye kwa sasa ameibua minong'ono mingi kwa mashabiki kuwa anaipenda timu ya Simba kuliko ile ya Yanga anayochezea, amenyoosha maelezo kuhusu tuhuma hizo. Read more about Msuva aitamani Simba SC