Msako wa Azam U-17 kuhamia Mbeya Jumamosi

Zoezi la kusaka vipaji katika klabu ya Azam

Klabu ya Azam FC, inatarajia kuendelea na mpango wake wa kitaifa wa kusaka wachezaji wenye umri chini ya miaka 17 (U-17) Jumamosi Ijayo Novemba 19, mwaka huu (kesho) katika Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya kuanzia saa 1.00 asubuhi hadi saa 8.00 mchana

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS