Kaimu Mkurugenzi Huduma za Upasuaji wa Hospital ya Taifa Muhimbili Dkt. Julieth Magandi
Takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 13 ya watoto huzaliwa wakiwa na uzito pungufu (Njiti) nchini Tanzania hali ambayo huchangia asilimia 86 ya vifo vya watoto wachanga.