Siri mapigano ya wakulima na wafugaji yafichuka

Mfereji mkubwa wa kutenganisha eneo la wafugaji wa kijiji cha Kambala na wakulima wa bonde la Mgongola wilayani Mvomero

Wafugaji wa  jamii ya kimasai walioko katika kijiji cha Kambala wamesema mgogoro uliopo baina yao na wakulima  wa  vijiji jirani kwa kiasi kikubwa unachochewa na baadhi ya wakulima wanaotoka katika Manispaa ya Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS