Waliohamishiwa UDOM kutoka St Joseph kurudia mwaka

Prof Joyce Ndalichako - Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknlojia Imewataka wanafunzi wa St. Joseph walioamishiwa katika chuo kikuu cha Dodoma kurudia mwaka kwa kile kilichobainika kuwa na ujuzi na maarifa usiokidhi viwango vya chuo cha Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS