Mfumuko wa bei mwezi Novemba wapanda kwa 0.3%

Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Ephraim Kwesigabo

Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Novemba 2016 umeongezeka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 4.5 iliyokuwapo  mwezi Oktoba, 2016 kutokana na kuongezeka  kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS