Matapeli waibukia tiba asili na tiba mbadala Boniventura Mwalongo - Katibu Mkuu TRAMEPRO Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi imeiombwa kuchukua hatua dhidi ya watu ambao hupita maeneo mbalimbali nchini na kujifanya kuwa wao ni viongozi wa vyama vya tiba asili na tiba mbadala. Read more about Matapeli waibukia tiba asili na tiba mbadala