Vijana wa bodaboda wamvamia Lowassa Tabora

Mhe. Edward Lowassa akiwa na baadhi ya vijana wa Boboboda mkoani Tabora.

Baadhi ya vijana ambao wamejiajiri katika kushughuli za usafirishaji wa abiria kupitia pikipiki maarufu kama bodaboda asubuhi ya leo wametoa malalamiko yao kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS