Serikali yakiri kuwepo kwa vikwazo vya biashara

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adolf Mkenda

Serikali inalenga kuharakisha utoaji wa vibali kwa wawekezaji ili kurahisisha ufanisi ambapo mlolongo wa taratibu zote za kiusajili zitapunguzwa kwa lengo la kuondoa vikwazo vya uwekezaji na biashara nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS