Ommy Dimpoz aimwagia sifa EATV Awards
Mkali wa ngoma ya 'Kajiandae' katika anga la bongo fleva, Ommy Dimpoz amezimwagia sifa tuzo kubwa za muziki na filamu Afrika Mashariki za EATV, na kukiri kuwa mambo aliyoyaona katika shughuli ya utoaji tuzo, hajawahi kuyaona nchini Tanzania.

