Ommy Dimpoz aimwagia sifa EATV Awards

Ommy Dimpoz

Mkali wa ngoma ya 'Kajiandae' katika anga la bongo fleva, Ommy Dimpoz amezimwagia sifa tuzo kubwa za muziki na filamu Afrika Mashariki za EATV, na kukiri kuwa mambo aliyoyaona katika shughuli ya utoaji tuzo, hajawahi kuyaona nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS