Rais wa Zambia kufanya ziara ya siku 3 nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga, amesema Rais Edgar Lungu wa Zambia anatarajiwa kufanya ziara rasmi ya siku tatu nchini kuanzia Novemba 27 kwa mwaliko wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli.