Muhimbili yafanikisha upasuaji wa kihistoria

Madaktari bingwa wakiendelea na upasuaji.

Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo kwa mara ya kwanza wamefanya upasuaji maalum kwa kutumia darubini kuhamisha misuli na mishipa ya damu toka kwenye mguu kwenda sehemu nyingine chini ya mguu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS