Ripoti ya uchunguzi wa mali za BAKWATA yakabidhiwa

Mufti wa Tanzania (Wa pili kulia) akipokea ripoti ya uchunguzi wa mali za BAKWATA

Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakari Zuber  leo amekabidhiwa ripoti ya awali iliyoandaliwa na tume ambayo ameiunda  kwa ajili ya kufanya uchunguzi  na kuzibainisha  mali zote za  Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS