Rais Magufuli aeleza sababu ya kuvunja bodi ya TRA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wahitimu wakati alipokuwa Mgeni rasmi katika Mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika chuoni Bingo kibaha Mkoani Pwani aliyeketi kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Mizengo Peter Pinda Novemba 24,2016

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amevunja ukimya na kueleza sababu za kuvunja bodo ya Mamlaka ya Mapato (TRA), kuwa ni kutokana na bodi hiyo kubariki maamuzi ya TRA kupeleka fedha zake katika benki za biashara jambo ambalo ni hasara kwa serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS