Tuzo zangu nimezipeleka kanisani - Msuva

Saimon Msuva (wa kwanza kulia) akiwa katika kipindi cha 5Sports cha EATV na watangazaji wa kipindi hicho kutokea kushoto ni Tom Chilala, Tigana Lukinja, na Ladislaus

Winga mshambuliaji wa timu ya Yanga ya Dar es Salaam Saimon Msuva amesema tuzo zote alizowahi kupata amezipeleka na anazihifadhi kanisani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS