Nitampenda Dully mpaka kufa kwangu - Alikiba

Dully Sykes (Katikati) akiwa na Alikiba (Kulia) wakifanyiwa mahojiano na Duwe wa eNewz

Msanii wa bongo fleva Alikiba aliyeshinda tuzo tatu usiku wa EATV AWARD ikiwemo video bora ya mwaka, mwanamuziki bora wa mwaka na wimbo bora wa mwaka  ameshukuru kukutana na Dully na kusema hana tatizo nae na kwamba anampenda sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS