CCM kutoa kauli kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar

Mwenyekiti wa CCM Dkt. John Magufuli akiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

Halmashauri kuu ya Taifa ya Chama cha Mpinduzi CCM imeagiza kuundwa kwa kamati maalum ya kufanya tathmini ya kina kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar kwa ujumla na masuala yanayohusu uchaguzi wa Zanzibara 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS