Rais wa Uturuki atoa vitisho kwa Umoja wa Ulaya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameonya kwamba atawaruhusu mamia ya maelfu ya wahamiaji kusafiri na kuingia Ulaya iwapo ataachwa nje ya Umoja wa Ulaya, EU. Read more about Rais wa Uturuki atoa vitisho kwa Umoja wa Ulaya