Magufuli afanya mageuzi makubwa CCM Dkt John Magufuli - Mwenyekiti CCM Taifa Mwenyekiti wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli ameongoza kikao cha halimashauri kuu ya taifa ya CCM na kusema kuwa anataka kuwa na chama kinachoongozwa na wanachama badala ya chama kinachoongozwa na mwanachama. Read more about Magufuli afanya mageuzi makubwa CCM