Kwa mara ya kwanza tumepata tuzo kubwa - Nape Waziri Nape Nnauye alipopanda jukwaani kutoa tuzo ya heshima Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amezinyooshea mikono tuzo za EATv na kukiri kuwa hizo ndizo tuzo kubwa ambazo zinaandaliwa nchini Tanzania kwa mara ya kwanza. Read more about Kwa mara ya kwanza tumepata tuzo kubwa - Nape