Vodacom yawatengea wateja wake shilingi bilioni 5

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi. Rosellyn Mworia (Katikati)

Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania imetenga shilingi bilioni tano kama zawadi kwa wateja wake katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, kupitia kampeni ijulikanayo kama 'Nogesha Upendo' inayoanza rasmi hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS