Machinga Mwanza 'wamtunishia misuli' DC Mary Tesha - Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Wafanyabiashara ndogondogo (machinga) Jijini Mwanza wamefanya mkutano asubuhi ya leo lengo kubwa likiwa ni kuipinga kauli ya mkuu wa wilaya ya Nyamagana Marry Tesha yakuwataka waondoke ndani ya siku 7. Read more about Machinga Mwanza 'wamtunishia misuli' DC