Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka
Kampuni ya burudani ya Afrikasongs.com inayofanya shughuli ya kuuza nyimbo za wasanii kwa njia ya mtandao imefichua siri kwa wasanii wa Tanzania wenye nia ya kutajirika kupitia kazi zao za muziki.