Trey Songz amenipa 'kiki' hadi Marekani Msanii wa muziki wa bongo fleva, mwanadada Vanessa Mdee a.k.a Vee Money, amefunguka na kueleza faida alizopata kwa kuwa karibu na nyota wa muziki nchini Marekani Trey Songz. Read more about Trey Songz amenipa 'kiki' hadi Marekani