Kura za urais kuhesabiwa upya Wisconsin, Marekani

Jill Stein - Aliyekuwa mgombea urais Marekani

Tume ya uchaguzi katika jimbo la Wisconsin nchini Marekani limepokea ombi la kurudiwa kuhesabu kura za uchaguzi uliopita ambapo mshindi alikuwa Donald Trump aliyeshinda kwa kura chache wiki mbili zilizopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS