"Hatua zinachukuliwa kwa wapinzani tu" – Mlinga
Mbunge wa jimbo la Ulanga kupitia CCM Goodluck Mlinga, amesema kwamba tabia ya kuchukuliana hatua pale mbunge anapomsema vibaya kiongozi mkubwa, haiko kwa wabunge wa CCM isipokuwa kwa upinzani ndiyo hawawezi sema ukweli watachukuliwa hatua na viongoz

