Azam FC kujaribu kuikimbiza Yanga Ligi kuu soka Tanzania Bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja ambapo Azam FC watakuwa ugenini mkoani Iringa kucheza na wenyeji wao Lipuli FC kwenye uwanja wa Samora mjini humo. Read more about Azam FC kujaribu kuikimbiza Yanga