Polepole atoa siri ya ushindi wa uchaguzi wa kesho
Ikiwa imebakia siku moja kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa marudio, Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole amevitaka vyama vya upinzani viwe na uvumilivu kwa kuwa kushindwa ni kawaida yao katika chaguzi.

