Polepole atoa siri ya ushindi wa uchaguzi wa kesho

Humphrey Polepole

Ikiwa imebakia siku moja kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa marudio, Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole amevitaka vyama vya upinzani viwe na uvumilivu kwa kuwa kushindwa ni kawaida yao katika chaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS