Slaa, Mboweto wamuaga Makamu wa Rais

Balozi wa Tanzania nchini Nigeria  Mhe. Muhidin  Mboweto pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Wilbrod Slaa leo wamekutana na Makamu wa Rais , Samia Suluhu  kwenye makazi yake Dar es Salaam kwa lengo la kumuaga tayari kwenda kwenye vituo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS