Waziri Mkuu atoa agizo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali ya awamu ya tano itapambana na watu wanaotaka kuvuruga thamani ya zao la pamba, huku akiwataka wakulima wa zao hilo kuacha tabia ya kuchanganya mchanga au maji ndani ya pamba hizo kwani watakosa wanunuzi

