"Nipo tayari kwa lolote"- Mtulia

Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Maulid Mtulia amefunguka na kudai atakubaliana na matokeo yoyote yatakayo tangazwa jioni ya leo na Tume ya Uchaguzi Taifa (NEC) pindi zoezi la kuhesabu kura litakapomalizika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS