Waziri aagiza wakimbizi kurejeshwa kwao 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dr Mwigulu Nchemba  amewaagiza UNHCR  kuwaondoa wakimbizi 32000 ambao wameomba kwa hiari yao kurudi katika nchi yao ya Burundi haraka tofauti na wanavyofanya sasa. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS