Waziri aagiza wakimbizi kurejeshwa kwao Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dr Mwigulu Nchemba amewaagiza UNHCR kuwaondoa wakimbizi 32000 ambao wameomba kwa hiari yao kurudi katika nchi yao ya Burundi haraka tofauti na wanavyofanya sasa. Read more about Waziri aagiza wakimbizi kurejeshwa kwao