Simba yaweka wazi safari yake

Klabu ya soka ya Simba jioni hii imethibitisha kuwa kesho itasafiri kuelekea nchini Djibouti kwaajili ya mchezo wake wa marejeano dhidi ya wenyeji wao Gendarmerie kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS