Simba yaweka wazi safari yake Klabu ya soka ya Simba jioni hii imethibitisha kuwa kesho itasafiri kuelekea nchini Djibouti kwaajili ya mchezo wake wa marejeano dhidi ya wenyeji wao Gendarmerie kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Read more about Simba yaweka wazi safari yake