Serikali yatoa agizo viwanda vilivyobinafisishwa

Katibu Mkuu Wizara wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Prof Elisante Ole Gabriel, amesema serikali itahakikisha viwanda vinavyobinafisishwa katika maeneo mbalimbali nchini vinafanya kazi kulingana na makusidi ya uanzishwaji wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS