Real Madrid yaweka rekodi La Liga Mabingwa watetezi wa La Liga klabu ya Real Madrid jana imeibuka na ushindi wa mabao 5-3, dhidi ya Real Betis na kufanikiwa kuwa klabu ya kwanza kufikisha mabao 6,000 ya kufunga kwenye ligi hiyo. Read more about Real Madrid yaweka rekodi La Liga