TRA yafunguka ugawaji wa magari
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekanusha taarifa iliyokuwa inasambaa katika mitandao ya kijamii kuwa inagawa magari kwa taasisi zinazotoa huduma za kijamii kama Kanisa, Msikiti, NGO na vituo vya watoto yatima pamoja na kutuzia wazee.