Aliyemrithi Nyalandu aeleza kutokukubalika jimboni

Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Justine Monko na Lazaro Nyalandu.

Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Justine Monko kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametaja sababu ya wagombea Ubunge wa CCM, kuchaguliwa na wananchi wachache kwenye chaguzi za marudio kuwa ni kutokana na wananchi kuwa na uhakika na wagombea wa Chama hicho kwamba watashinda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS